Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Browsing all 109439 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nape "CCM haipo Tayari Kuwabembeleza Walio Susa Bunge Warudi, Waendelee Kukaa...

Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi chini ya Mwenyekiti wake Rais DK JAKAYA KIKWETE ilikutana Dodoma May 5 2014 ili kujadili na kuzungumzia masuala mbalimbali ikiwemo mchakato wa Bunge la Katiba ambalo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanajeshi Apewa Kichapo Kikali na Askari wa Usalama!

Askari wa Usalama barabarani eneo la Makumbusho, Dar wakimpiga Dereva wa gari ambaye amejitambulisha kama mwanajeshi! Tukio hili limetokea mida ya saa 9 mchana huu. Bado haieleweki chanzo ni nini.Je,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bila Upendeleo, Mabinti Toka Mkoa gani Tanzania Wanaongoza Kuwa na Sura Nzuri?

Bila upendeleo, mabinti toka mkoa gani Tanzania wanaongoza kuwa na sura nzuri? Kama Unajua Andika Mkoa huo kwenye Comment

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanafunika Nywele Lakini Wanafunua Matiti!

Afrika kama tunavyoifahamu, ilikuwa ni sehemu ya Mila na Tamaduni bora kabisa, sehemu ambayo heshima adabu vilikuwa ni msingi wa jamii yake, hasa kwenye jamii.Ni sehemu ambayo masikini waliishi kwa mlo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ajabu:Mvua ya Samaki Yawapa Neema ya Kitoweo Raia

Afrika Mashariki na sehemu nyingine tumezoa kuwa kama mvua haitakuwa ya maji pekee basi itakuwa mvua ya mawe yanayotokana na barafu, lakini raia wa Sri Lanka wao wana uzoefu wa kukinga mvua ya samaki...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kocha wa kwanza mwanamke kufundisha soka kwenye klabu kubwa Ulaya

Ni kawaida kuona makocha wa jinsia ya kiume wakiwa wanafundisha timu za mpira wa miguu za wanawake, lakini ni mara chache sana tumewahi kushuhudia kocha wa kike akiwa anaifundisha timu ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lady Jay Dee Aonyesha Zarau kwa Tuzo za Kill, Eti Hajui Kama Zimeshafanyika

Lady Jaydee alishinda tuzo mbili mwaka huu kwenye KTMA lakini kwasababu ambazo hajazisema,hakuwepo mwenyewe kuchukua tuzo hizo, shabiki yake akamuuliza kupitia twitter na Lady Jay Dee Akamjibu Kwani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha za Mahabusu Waliovua Nguo Mwanza Hizi Hapa

Mahabusu wawili kati ya sita wanaotuhumiwa kwa kesi za mauaji, wakiwa wameng'ang'ania mlingoti wa Bendera ya Taifa huku mnoja akiwa mtupu mara baada ya kutoroka toka kwenye msafara wa mahabusu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Alazwa Hospitali kwa Miaka 45

Singida. Usiombe yakupate. Abdi Lanjui (75), ametimiza mwaka wa 45 akiwa wodini katika Hospitali ya Mkoa wa Singida alikolazwa tangu mwaka 1971 baada ya kupata ajali ya lori.Lanjui aliyekuwa dereva wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Upinzani Watoa Masharti Magumu Kushiriki Uchaguzi Mkuu 2015

Serikali imetakiwa kuandaa taratibu za mpito za kushughulikia Uchaguzi Mkuu ujao ili kunusuru nchi kuingia katika mtanziko unaoweza kuwa chanzo cha machafuko ya kisiasa, endapo utafanyika bila...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Matokeo ya Mechi Kati ya Man City na Aston Villa Haya Hapa

Ni game full time ni Manchester City 4 magoli ambayo yamefungwa na Dzeko kwenye dakika 64′+ 72′+ Jovetic 89′ + Yaya Toure kwenye 90 +3) – 0 Aston Villa. Kwa Mtonyo huo Kwa sasa Man City Inaongoza Ligi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ufisadi:Magari Mapya 11 Yaliyonunuliwa na Serekali Hayajulikani Yalipo

Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali CAG imeamplfy kwamba kitendo cha Serikali kukosa nyaraka za mali zake kumechangia baadhi ya watendaji wasio waaminifu kutumia mwanya huo kujisogezea mali za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Snura Aingilia Kati Beef la Wema Sepetu na Kajala

  MSANII wa filamu na muziki, Snura Mushi ameingilia kati ugomvi wa wasanii wenzake, Wema Sepetu na Kajala Masanja na kuwaagiza wamalize tofauti zao.Wasanii hao ambao wameingia kwenye bifu la kufa mtu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jokate Ataja Sifa za Mume Wake Mtarajiwa..Wanaume Kazi Kwenu

MTOTO mzuri kunako anga la watangazaji Bongo, Jokate Mwegelo ameibuka na kuanika sifa za mwanaume ambaye anafaa kuwa mume wakeAkipia stori na paparazi wetu juzi jijini Dar, Jokate alisema anapenda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baby Madaha Aumbuka...Aonekana ni Muongo wa Kutupwa

STAA wa muziki na filamu Bongo, Baby Joseph Madaha ambaye aliwahi kutangaza kuacha fani ya maigizo na muziki amejikuta akiumbuka kwa mashabiki wake kutokana na kuendelea kukomaa katika gemu kwa kuachia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Matatizo yote Yanayokusibu Sasa Basi! Suluhisho Ndio Hili

Matatizo yote yanayokusibu sasa basi! Doct Shkh Omari bin Mshamu ndio suruhisho la matatzo yako..Ni Doct aliyebobea mambo ya sayansi inayohusika na mfumo wa mwili wa binadamu na maisha yake, na ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Master Jay "Uchawi Bongo Flava Upo Nimewahi Kuona Msanii Anatokwa na Panzi...

Producer mkongwe wa muziki na mmliki wa MJ Records, Master J, amesema uchawi upo kwenye muziki na ameshawahi kushuhudia msanii wa bendi akitolewa panzi kooni iliyoingia kimazingara ili ashindwe...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Exclusive: Dr Cheni alazwa hospitali kutokana na ugojwa wa Dengue

Msanii wa filamu nchini, Dr Cheni amelezwa toka jana katika hospitali ya Buruhani jijini Dar es Salaam kutokana na ugonjwa wa Dengue.Akizungumza na Bongo5 leo Dr Cheni amesema kuwa bado hali yake sio...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diamond Platnumz Aendelea Kuwagalagaza Wasanii wa Afrika Kwenye Nominations...

Pamoja na kwamba tuzo za Kora hazina tena ‘kiki’ kama zamani, Diamond Platnumz ameendelea kuwagalaza wasanii wa Afrika kwakuwa jina lake ndilo limekuwa likitajwa zaidi na mashabiki kwenye akaunti ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Imebainika:Serikali ilifanya Siri Ugonjwa wa Dengue

Ugonjwa wa homa ya dengue ambao umezidi kusambaa mkoani Dar es Salaam na kuathiri wilaya zake tatu za Temeke, Ilala na Kinondoni umezua hofu na taharuki kubwa kwa wananchi. Takwimu za Kitengo cha...

View Article
Browsing all 109439 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>